fbpx

Mipaka imefunguliwa kwa kiwango kidogo, lakini unashauriwa kutosafiri nje ya nchi

https://mino.dk/covid19/kiswahili/#mipaka-imefunguliwa-kwa-kiwango-kidogo-lakini-unashauriwa-kutosafiri-nje-ya-nchi

Mipaka imefunguliwa kwa kiwango kidogo, lakini unashauriwa kutosafiri nje ya nchi

Mipaka imefunguliwa kwa kiwango kidogo, lakini unashauriwa kutosafiri nje ya nchi

29/05/2020 / /

Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 29 mai 2020

Serikali imetoa ushauri wa kutosafari nje ya nchi hadi tarehe 31 Agosti. Nchi za Norway, Island na ujerumani haijumuishwi katika ushauri huu.

Kuanzia tarehe 15 Juni, Denmark itafungua mipaka kwa wageni kutoka Norway, Island na ujerumani. Walakini kutakuwa na masharti kadha kwa watalii ambao wanatoka katika hizi nchi. Kwa mfano, itawalazimisha wakomboe nyumba ya kulala kiwango ya chini ikiwa usiku sita denmark ili wapewe kibali ya kuiinga nchini na hawatapata ruhusa ya kulala mji mkuu. Vile vile, watafanyiwa upimaji mipakani.

Mpaka kati ya Denmark na Sweden itabaki imefungwa kwa muda kwa sababu nchi ya Uswidi ilitumia njia tofauti ya kukabiliana na janga la virusi vya corona.

Baada ya likizo ya summer, wataangazia ufunguzi wa nchi zingine za Schengen.

Tabia na mienendo yetu ya kila siku itachangia kwa ukubwa vipi ufunguzi wa jamii itakavyoendeshwa. Haya yanajumuisha pia miendendo na tabia zetu tunaposafiri msimu wa likizo ya summer.

Ukisafiri katika nchi zingine una hatari ya kuambukizwa na kuleta maambukizi nyumbani. Kwa hivyo unashauriwa kutosafiri kwa miji mikubwa, na pia kuwa makini na kupata habari juu ya mji unayosafiri na sheria zilizowekwa.

Wizara ya afya inakuhimiza pia ujitenge kwa siku 14 baada ya safari yako ya nchi za ng’ambo, hata kama umekuwa kwa safari fupi nchini Sweden.

Relaterede nyheder

Ufunguzi wa Denmark awamu ya tatu

08/06/2020
Kuanzia jumatatu tarehe 8 juni 2020, Denmark itafungua tena sehemu zaidi. Hii itajumuisha: Vitengo za michezo za ndani-(michezo za video), […] Læs mere… Læs mere…

Sasa unauwezo mwenyewe wa kupata muda wa kupimwa virusi vya corona- hata ikiwa hauna dalili

19/05/2020
Sio lazima tena kupata rufaa kutoka kwa daktari wako ili uwe na uwezo wa kupata muda wa kupimwa virusi vya […] Læs mere… Læs mere…

Serikali inawasilisha mkakati mpya wa kupima na kufuatilia wale walio ambukizwa

13/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 12 mai 2020 Hivi karibuni Denmark imeongeza sana, […] Læs mere… Læs mere…

Mamlaka ya teknolojia na usalama inatoa onyo dhidi ya barakoa zinazotengenezwa nyumbani

12/05/2020
Watu binafsi wameanza kushona na kutengeneza barakoa wenyewe nyumbani. Walakini barakoa zinazo shonwa hapo nyumbani zinafanya mtu ajihisi yuko salama, […] Læs mere… Læs mere…

Awamu ya 2 kufungua denmark upya inaaza sasa

07/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari tarehe 7 Mei , kutoka kwa Waziri Mkuu Mette Frederiksen Wananchi wote hapa […] Læs mere… Læs mere…

Wizara ya afya imebadilisha ufafanuzi wa ’vikundi vya watu walio hatarini’

06/05/2020
Baada ya kufanya kazi na ufafanuzi mpana sana wa vikundi vya watu walio hatarini kwa maambukizi ya COVID-19, Wizara ya […] Læs mere… Læs mere…

Kwa sasa, vikundi vilivyochaguliwa vya watu walio katika hatari kubwa ya maambukizi watapata chanjo ya bure kwa ugonjwa wa nimonia

04/05/2020
Watu walio katika hatari kubwa ya kuwa wagonjwa zaidi kwa maambukizo ya COVID-19, kwa sasa wanaweza kuwasiliana na daktari wao […] Læs mere… Læs mere…

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri wa afya na mamlaka ya afya, tarehe 20 aprili 2020

23/04/2020
Tuko katika hatua ya kwanza ya kufunga tena jamii yetu na shughuli za kila siku. Hii ni kwa sababu tumepata […] Læs mere… Læs mere…

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa Waziri Mkuu tarehe 14 aprili 2020

14/04/2020
Kwa sasa tunaweza kufurahia vile maendeleo ya virusi vya corona inavyo onyesha hapa nchini Denmark. Nambari zinaendelea kuwa zaidi na […] Læs mere… Læs mere…

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa Waziri Mkuu tarehe 6 aprili 2020, saa mbili usiku (Kl.20.00).

06/04/2020
Maendeleo ilivyo sasa ni thabiti na nambari zinaendelea sawa: watu 503 wamelazwa hospitalini, watu 139 wamelazwa katika kitengo cha utunzaji […] Læs mere… Læs mere…

Vær med til at sikre
et ligeværdigt Danmark
– for alle!

Sammen styrker vi minoritetsetniske danskeres
muligheder, stemmer og samfundsdeltagelse



Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.

Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.

Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.

Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.