fbpx

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa Waziri Mkuu tarehe 14 aprili 2020

https://mino.dk/covid19/kiswahili/#muhtasari-wa-mkutano-kwa-waandishi-wa-habari-kutoka-kwa-waziri-mkuu-tarehe-14-aprili-2020

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa Waziri Mkuu tarehe 14 aprili 2020

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa Waziri Mkuu tarehe 14 aprili 2020

14/04/2020 / /

Kwa sasa tunaweza kufurahia vile maendeleo ya virusi vya corona inavyo onyesha hapa nchini Denmark. Nambari zinaendelea kuwa zaidi na ilivyo tarajiwa. Kwa hivyo tunaweza kufungua zaidi kidogo kulingana na matarajiwa ya hapo awali. Kutakuwa na majadiliano kati ya vyama tofaututi bungeni kuhusu vitengo vipi vinaweza kufunguliwa zaidi, kwa mfano kazi gani na zipi zinaweza kufunguliwa.
Idadi ya watu ambao wamelazwa hospitalini na kwa vitengo maalum imepungua. Maagizo ya kukaa mbali mbali imefaulu, na ndio maana sote lazima tuendelee vivyo hivyo. Imekuwa jambo lisilo la kawaida, na limeshangaza sisi sote kwamba Denmark imefunga shughuli za kila siku. Lakini nchi zingine nyingi ulimwenguni ziko katika hali ngumu zaidi kuliko Denmark.
Kwa hivi sasa, kuna watu 380 walio lazwa hospitalini na virusi vya homa kali ya mapavu ya corona, watu 93 wamelazwa katika vitengo vya utunzaji maalum, na watu 299 wameaga dunia. Virusi vya Corona vimedhibitiwa nchini denmark kwa sasa na mfumo wa afya unauwezo wa kuendelea kutoa huduma bora.

  • Maandalio sasa yanafanyiwa ili kufungua sehemu zingine za mfumo wa huduma ya afya ili madaktari wa kibinafsi wawe na uwezo wa kutibu wagonjwa na hospitali pia zinaweza kuanza kufanya mipango ya upasuaji/matibabu ya operation. Wagonjwa walio na mahitaji makubwa zaidi watapewa muda kwanza. Kila mtu akumbuke kuwasiliana na daktari wake wa kibinafsi ukiwa mgonjwa, au dalili za magonjwa na unahitaji uchunguzi zaidi.
  • Manisipaa (kommune) zote zinajiandaa kufungua tena taasisi za utunjazi na malezi
  • (daginstitutioner, dagplejer) na shule kwa msingi wa mapendekezo kutoka kwa wizara ya afya. Maisha ya kila siku itakuwa tofauti kwa watoto, kwani wanapaswa kukaa mbali mbali kati yao, na watatumia muda zaidi nje na kucheza kwa vikundi vidogo vidogo.
  • Manisipaa (kommune) 67 wanafungua huduma za shule kesho, jumatano 15 aprili 2020 na manisipaa 48 wanafungua shule darasa la sufuri hadi tano, ijumaa tarehe 17.april 2020. Taasisi zingine zote za utunzaji na malezi ya watoto pamoja na shule za msingi zitafungua jumatatu tarehe 20 aprili 2020.

Lazima tuendelee na tutilie maanani kuwa mbali mbali na kuwalinda watu wazee na walio katika hatari kubwa ya maambukizi katika jamii. Sisi sote tunahitaji kusaidia ili maambukuzi hayaenei sana na kwa haraka.

Relaterede nyheder

Ufunguzi wa Denmark awamu ya tatu

08/06/2020
Kuanzia jumatatu tarehe 8 juni 2020, Denmark itafungua tena sehemu zaidi. Hii itajumuisha: Vitengo za michezo za ndani-(michezo za video), […] Læs mere… Læs mere…

Mipaka imefunguliwa kwa kiwango kidogo, lakini unashauriwa kutosafiri nje ya nchi

29/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 29 mai 2020 Serikali imetoa ushauri wa kutosafari […] Læs mere… Læs mere…

Sasa unauwezo mwenyewe wa kupata muda wa kupimwa virusi vya corona- hata ikiwa hauna dalili

19/05/2020
Sio lazima tena kupata rufaa kutoka kwa daktari wako ili uwe na uwezo wa kupata muda wa kupimwa virusi vya […] Læs mere… Læs mere…

Serikali inawasilisha mkakati mpya wa kupima na kufuatilia wale walio ambukizwa

13/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 12 mai 2020 Hivi karibuni Denmark imeongeza sana, […] Læs mere… Læs mere…

Mamlaka ya teknolojia na usalama inatoa onyo dhidi ya barakoa zinazotengenezwa nyumbani

12/05/2020
Watu binafsi wameanza kushona na kutengeneza barakoa wenyewe nyumbani. Walakini barakoa zinazo shonwa hapo nyumbani zinafanya mtu ajihisi yuko salama, […] Læs mere… Læs mere…

Awamu ya 2 kufungua denmark upya inaaza sasa

07/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari tarehe 7 Mei , kutoka kwa Waziri Mkuu Mette Frederiksen Wananchi wote hapa […] Læs mere… Læs mere…

Wizara ya afya imebadilisha ufafanuzi wa ’vikundi vya watu walio hatarini’

06/05/2020
Baada ya kufanya kazi na ufafanuzi mpana sana wa vikundi vya watu walio hatarini kwa maambukizi ya COVID-19, Wizara ya […] Læs mere… Læs mere…

Kwa sasa, vikundi vilivyochaguliwa vya watu walio katika hatari kubwa ya maambukizi watapata chanjo ya bure kwa ugonjwa wa nimonia

04/05/2020
Watu walio katika hatari kubwa ya kuwa wagonjwa zaidi kwa maambukizo ya COVID-19, kwa sasa wanaweza kuwasiliana na daktari wao […] Læs mere… Læs mere…

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri wa afya na mamlaka ya afya, tarehe 20 aprili 2020

23/04/2020
Tuko katika hatua ya kwanza ya kufunga tena jamii yetu na shughuli za kila siku. Hii ni kwa sababu tumepata […] Læs mere… Læs mere…

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa Waziri Mkuu tarehe 6 aprili 2020, saa mbili usiku (Kl.20.00).

06/04/2020
Maendeleo ilivyo sasa ni thabiti na nambari zinaendelea sawa: watu 503 wamelazwa hospitalini, watu 139 wamelazwa katika kitengo cha utunzaji […] Læs mere… Læs mere…

Vær med til at sikre
et ligeværdigt Danmark
– for alle!

Sammen styrker vi minoritetsetniske danskeres
muligheder, stemmer og samfundsdeltagelse



Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.

Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.

Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.

Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.