06/04/2020 /
/Maendeleo ilivyo sasa ni thabiti na nambari zinaendelea sawa: watu 503 wamelazwa hospitalini, watu 139 wamelazwa katika kitengo cha utunzaji maalum, na watu 187 kwa bahati mbaya wameaga dunia.
Waziri mkuu anabainisha kuwa, virusi huhisiwa kwanza baada ya wiki tatu au nne baada ya maambukizo,na kwa hivyo kuna wasiswasi, kuwa watu wengine wataanza kutozingatia maagizo kwa mfano kwa kusherekea pasaka pamoja.
Kwa msingi huo, waziri mkuu amewasilisha mpango ya kwanza, awamu ya kuanza kufungua tena Denmark. Vidokezo vyote vya mipango ni kwa masharti kuwa kila mtu anachukua jukumu na kuendelea kufuata maagizo ya mamlaka: kuosha mikono, na kukaa mbali mbali na kutokutana na watu wengi.
Waziri mkuu anasisitiza kwamba, haya yote ni kwa masharti kwamba, maendeleo yata kuwa thabiti- na kwamba sisi sote tunayo jukumu la kuhakikisha kwamba inawezekana, kwa kufuata miongozo.
Kwa kuongezea, hatua zingine lazima ziongezwe muda kwa wiki nne zaidi hadi tarehe 10 mei.2020, haya yanahusu:
Waziri mkuu anahimiza watu wote wawe wavumilivi na kuelewa, hakuna kitu kitakuwa sawa kama hapo awali- na maisha ya kila siku hayatarudi kama kawaida kwa miezi kadhaa.
Kwa kuongezea anatangaza maswala kadhaa kuhusu:
Kwa kuongezea waziri mkuu anasisitiza wito wake wa kuonyesha ushikamano na wito wa jamii, wakati huu haswa kwa benki na kampuni kubwa za kukodisha, wanahitajika kuonyesha muungano. Wananchi pia wanahimizwa kuinua uchumi na kukuza biashara na kampuni ndogo.
Kuhusiana na mfumo wa afya, waziri mkuu ametangaza watu wengi wamepimwa, ili kueleza ni watu wangapi ambao wamekuwa na corona, vile vile wanafanya bidii ili kuhakikisha kuwa wafanyakazi wa huduma ya afya wanavyo vifaa vyote vinavyo hitajika.
Mwishowe, waziri mkuu anasema jambo muhimu zaidi ni kwamba sote tunachangia: ni jukumu la kila mtu kufuata maagizo. Haya ndio masharti kwa jamii yetu kufunguliwa tena pole pole.
08/06/2020
Kuanzia jumatatu tarehe 8 juni 2020, Denmark itafungua tena sehemu zaidi. Hii itajumuisha: Vitengo za michezo za ndani-(michezo za video), […] Læs mere… Læs mere…
29/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 29 mai 2020 Serikali imetoa ushauri wa kutosafari […] Læs mere… Læs mere…
19/05/2020
Sio lazima tena kupata rufaa kutoka kwa daktari wako ili uwe na uwezo wa kupata muda wa kupimwa virusi vya […] Læs mere… Læs mere…
13/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 12 mai 2020 Hivi karibuni Denmark imeongeza sana, […] Læs mere… Læs mere…
12/05/2020
Watu binafsi wameanza kushona na kutengeneza barakoa wenyewe nyumbani. Walakini barakoa zinazo shonwa hapo nyumbani zinafanya mtu ajihisi yuko salama, […] Læs mere… Læs mere…
07/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari tarehe 7 Mei , kutoka kwa Waziri Mkuu Mette Frederiksen Wananchi wote hapa […] Læs mere… Læs mere…
06/05/2020
Baada ya kufanya kazi na ufafanuzi mpana sana wa vikundi vya watu walio hatarini kwa maambukizi ya COVID-19, Wizara ya […] Læs mere… Læs mere…
04/05/2020
Watu walio katika hatari kubwa ya kuwa wagonjwa zaidi kwa maambukizo ya COVID-19, kwa sasa wanaweza kuwasiliana na daktari wao […] Læs mere… Læs mere…
23/04/2020
Tuko katika hatua ya kwanza ya kufunga tena jamii yetu na shughuli za kila siku. Hii ni kwa sababu tumepata […] Læs mere… Læs mere…
14/04/2020
Kwa sasa tunaweza kufurahia vile maendeleo ya virusi vya corona inavyo onyesha hapa nchini Denmark. Nambari zinaendelea kuwa zaidi na […] Læs mere… Læs mere…
Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.
Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.
Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.
Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.