23/03/2020 /
/Mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa Waziri mkuu, tarehe 23.03.2020 saa tisa kamili mchana (kl.15.00)
Waziri mkuu Mette Frederiksen ameongeza muda na mipangilio yote kuhusu kudhibitisha magonjwa ya CORONA hadi tarehe 13 aprili 2020.
Watu 254 wamelazwa hospitalini wakiwa na magonjwa ya virusi vya homa kali ya mapavu vya CORONA, watu 55 wamelazwa kwa kitengo cha utunzaji maalum, na watu 24 wameaga dunia.
Mipangilio iliyoamuliwa na bunge hapo mwanzoni, bado itaendelea kutimizwa. Kazi kuu sasa hivi ni kuzuia watu wengi wasiambukizwe na kuwa wangojwa kwa mara moja. Kwa sababu hio, serikali imeongeza muda, na kufunga shughuli za kila siku hadi tarehe 13 aprili 2020.
Waziri mkuu Mette Frederikesen anasisitiza kwamba ni muhimu kila mtu kufuata sheria na mikakati zilizowekwa, kuwa mbali mbali, ingawa inaweza kuwa changa moto wakati wa pasaka. Wana wasihi watu wasisafiri msimu wa pasaka, hata kama ni usafiri wa humu mjini danmark.
Familia zilizo hatarini , lazima watumie utunzaji wa dharura, kwani kuna uwezo wa kutosha wa kutunza watoto na vijana. Vile vile nafasi za nyumba zimetengwa ili watu wasio na makaazi pia waweze kujitenga, ikiwa wataambukizwa.
Waziri wa afya anasema kwamba wanafanya kazi kwa bidii ili kupanua na kuboresha uwezo wa matibabu. Wamewasiliana na Korea kusini kwa ombi na makubaliano ya kununua vifaa vya upimaji.
Kwa kumaliza, waziri wa afya anasema kwamba wanakaribisha na kupokea msaada wowote. Ikiwa kuna mtu anataka kusaidia basi tafadhali pata maelezo zaidi mtandaoni kwa coronasmitte.dk. Hapo utapata kiingilio cha ’Danmark inasaidia Danmark’ ambapo unaweza kupata tathmini ya haraka jinsi unaweza kusaidia.
08/06/2020
Kuanzia jumatatu tarehe 8 juni 2020, Denmark itafungua tena sehemu zaidi. Hii itajumuisha: Vitengo za michezo za ndani-(michezo za video), […] Læs mere… Læs mere…
29/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 29 mai 2020 Serikali imetoa ushauri wa kutosafari […] Læs mere… Læs mere…
19/05/2020
Sio lazima tena kupata rufaa kutoka kwa daktari wako ili uwe na uwezo wa kupata muda wa kupimwa virusi vya […] Læs mere… Læs mere…
13/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 12 mai 2020 Hivi karibuni Denmark imeongeza sana, […] Læs mere… Læs mere…
12/05/2020
Watu binafsi wameanza kushona na kutengeneza barakoa wenyewe nyumbani. Walakini barakoa zinazo shonwa hapo nyumbani zinafanya mtu ajihisi yuko salama, […] Læs mere… Læs mere…
07/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari tarehe 7 Mei , kutoka kwa Waziri Mkuu Mette Frederiksen Wananchi wote hapa […] Læs mere… Læs mere…
06/05/2020
Baada ya kufanya kazi na ufafanuzi mpana sana wa vikundi vya watu walio hatarini kwa maambukizi ya COVID-19, Wizara ya […] Læs mere… Læs mere…
04/05/2020
Watu walio katika hatari kubwa ya kuwa wagonjwa zaidi kwa maambukizo ya COVID-19, kwa sasa wanaweza kuwasiliana na daktari wao […] Læs mere… Læs mere…
23/04/2020
Tuko katika hatua ya kwanza ya kufunga tena jamii yetu na shughuli za kila siku. Hii ni kwa sababu tumepata […] Læs mere… Læs mere…
14/04/2020
Kwa sasa tunaweza kufurahia vile maendeleo ya virusi vya corona inavyo onyesha hapa nchini Denmark. Nambari zinaendelea kuwa zaidi na […] Læs mere… Læs mere…
Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.
Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.
Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.
Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.