fbpx

Serikali inaongeza muda wa kufunga shughuli za kila siku hadi tarehe 13 aprili 2020

https://mino.dk/covid19/kiswahili/#serikali-inaongeza-muda-wa-kufunga-shughuli-za-kila-siku-hadi-tarehe-13-aprili-2020

Serikali inaongeza muda wa kufunga shughuli za kila siku hadi tarehe 13 aprili 2020

Serikali inaongeza muda wa kufunga shughuli za kila siku hadi tarehe 13 aprili 2020

23/03/2020 / /

Mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa Waziri mkuu, tarehe 23.03.2020 saa tisa kamili mchana (kl.15.00)


Waziri mkuu Mette Frederiksen ameongeza muda na mipangilio yote kuhusu kudhibitisha magonjwa ya CORONA hadi tarehe 13 aprili 2020.


Watu 254 wamelazwa hospitalini wakiwa na magonjwa ya virusi vya homa kali ya mapavu vya CORONA, watu 55 wamelazwa kwa kitengo cha utunzaji maalum, na watu 24 wameaga dunia.


Mipangilio iliyoamuliwa na bunge hapo mwanzoni, bado itaendelea kutimizwa. Kazi kuu sasa hivi ni kuzuia watu wengi wasiambukizwe na kuwa wangojwa kwa mara moja. Kwa sababu hio, serikali imeongeza muda, na kufunga shughuli za kila siku hadi tarehe 13 aprili 2020.


Waziri mkuu Mette Frederikesen anasisitiza kwamba ni muhimu kila mtu kufuata sheria na mikakati zilizowekwa, kuwa mbali mbali, ingawa inaweza kuwa changa moto wakati wa pasaka. Wana wasihi watu wasisafiri msimu wa pasaka, hata kama ni usafiri wa humu mjini danmark.


Familia zilizo hatarini , lazima watumie utunzaji wa dharura, kwani kuna uwezo wa kutosha wa kutunza watoto na vijana. Vile vile nafasi za nyumba zimetengwa ili watu wasio na makaazi pia waweze kujitenga, ikiwa wataambukizwa.


Waziri wa afya anasema kwamba wanafanya kazi kwa bidii ili kupanua na kuboresha uwezo wa matibabu. Wamewasiliana na Korea kusini kwa ombi na makubaliano ya kununua vifaa vya upimaji.


Kwa kumaliza, waziri wa afya anasema kwamba wanakaribisha na kupokea msaada wowote. Ikiwa kuna mtu anataka kusaidia basi tafadhali pata maelezo zaidi mtandaoni kwa coronasmitte.dk. Hapo utapata kiingilio cha ’Danmark inasaidia Danmark’ ambapo unaweza kupata tathmini ya haraka jinsi unaweza kusaidia.

Relaterede nyheder

Ufunguzi wa Denmark awamu ya tatu

08/06/2020
Kuanzia jumatatu tarehe 8 juni 2020, Denmark itafungua tena sehemu zaidi. Hii itajumuisha: Vitengo za michezo za ndani-(michezo za video), […] Læs mere… Læs mere…

Mipaka imefunguliwa kwa kiwango kidogo, lakini unashauriwa kutosafiri nje ya nchi

29/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 29 mai 2020 Serikali imetoa ushauri wa kutosafari […] Læs mere… Læs mere…

Sasa unauwezo mwenyewe wa kupata muda wa kupimwa virusi vya corona- hata ikiwa hauna dalili

19/05/2020
Sio lazima tena kupata rufaa kutoka kwa daktari wako ili uwe na uwezo wa kupata muda wa kupimwa virusi vya […] Læs mere… Læs mere…

Serikali inawasilisha mkakati mpya wa kupima na kufuatilia wale walio ambukizwa

13/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 12 mai 2020 Hivi karibuni Denmark imeongeza sana, […] Læs mere… Læs mere…

Mamlaka ya teknolojia na usalama inatoa onyo dhidi ya barakoa zinazotengenezwa nyumbani

12/05/2020
Watu binafsi wameanza kushona na kutengeneza barakoa wenyewe nyumbani. Walakini barakoa zinazo shonwa hapo nyumbani zinafanya mtu ajihisi yuko salama, […] Læs mere… Læs mere…

Awamu ya 2 kufungua denmark upya inaaza sasa

07/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari tarehe 7 Mei , kutoka kwa Waziri Mkuu Mette Frederiksen Wananchi wote hapa […] Læs mere… Læs mere…

Wizara ya afya imebadilisha ufafanuzi wa ’vikundi vya watu walio hatarini’

06/05/2020
Baada ya kufanya kazi na ufafanuzi mpana sana wa vikundi vya watu walio hatarini kwa maambukizi ya COVID-19, Wizara ya […] Læs mere… Læs mere…

Kwa sasa, vikundi vilivyochaguliwa vya watu walio katika hatari kubwa ya maambukizi watapata chanjo ya bure kwa ugonjwa wa nimonia

04/05/2020
Watu walio katika hatari kubwa ya kuwa wagonjwa zaidi kwa maambukizo ya COVID-19, kwa sasa wanaweza kuwasiliana na daktari wao […] Læs mere… Læs mere…

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri wa afya na mamlaka ya afya, tarehe 20 aprili 2020

23/04/2020
Tuko katika hatua ya kwanza ya kufunga tena jamii yetu na shughuli za kila siku. Hii ni kwa sababu tumepata […] Læs mere… Læs mere…

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa Waziri Mkuu tarehe 14 aprili 2020

14/04/2020
Kwa sasa tunaweza kufurahia vile maendeleo ya virusi vya corona inavyo onyesha hapa nchini Denmark. Nambari zinaendelea kuwa zaidi na […] Læs mere… Læs mere…

Vær med til at sikre
et ligeværdigt Danmark
– for alle!

Sammen styrker vi minoritetsetniske danskeres
muligheder, stemmer og samfundsdeltagelse



Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.

Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.

Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.

Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.