13/05/2020 /
/Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 12 mai 2020
Hivi karibuni Denmark imeongeza sana, na kwa ukubwa zaidi upimaji wa COVID-19 na kwa sasa hivi ni moja ya nchi ulimwenguni ambayo inapima watu wengi kulingana na idada ya wakaazi nchini. Lakini tunahitaji kuwa bora zaidi kwa sababu ikiwa maambukizi yanaibuka tena ni muhimu kubainiwa kwa wakati unaofaa. Kwa hivyo ni muhimu tuwe na njia dhabiti ya kufuatilia kuenea kwa maambukizi.
Kuna haja ya kuwatenga wagonjwa ili tuweze kuzuia maambukizi zaidi bila kufunga jamii yetu tena. Kwa wakati huo huo, kuna haja ya kuhakikisha kwamba watu wazee na walio katika hatari ya maambukizi pia wawe na uwezo wa kupata uhuru kwa maisha ya kila siku na wawe na uwezo wa kuwaona watoto and wajukuu wao tena.
Mikakati mipya ya ugunduzi na ufuatiliaji bora wa maambukizi inajumuisha: Mtu anapopatikana ameambukizwa, wiki hio, mamlaka inayo wajibika wataanza kutafuta ni nani ambaye umewasiliana naye kwa karibu . Watu hawa wanaweza kupimwa na kutengwa haraka kabla ya maambukizi haya kuenea zaidi. Serikali inaanzisha nambari ya hotline, ambayo itasaidia walioambukizwa kuwatambua wale walio wasiliana nao, kuhakisha na kukomesha kuenea kwa maaambukizi.
Juu ya hayo, serikali kwa mashirikiano na manisipaa watatenga vituo/vymba vya kujitenga kwa wananchi ambao hawana uwezo wa kujitenga kwa nyumba zao.
08/06/2020
Kuanzia jumatatu tarehe 8 juni 2020, Denmark itafungua tena sehemu zaidi. Hii itajumuisha: Vitengo za michezo za ndani-(michezo za video), […] Læs mere… Læs mere…
29/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 29 mai 2020 Serikali imetoa ushauri wa kutosafari […] Læs mere… Læs mere…
19/05/2020
Sio lazima tena kupata rufaa kutoka kwa daktari wako ili uwe na uwezo wa kupata muda wa kupimwa virusi vya […] Læs mere… Læs mere…
12/05/2020
Watu binafsi wameanza kushona na kutengeneza barakoa wenyewe nyumbani. Walakini barakoa zinazo shonwa hapo nyumbani zinafanya mtu ajihisi yuko salama, […] Læs mere… Læs mere…
07/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari tarehe 7 Mei , kutoka kwa Waziri Mkuu Mette Frederiksen Wananchi wote hapa […] Læs mere… Læs mere…
06/05/2020
Baada ya kufanya kazi na ufafanuzi mpana sana wa vikundi vya watu walio hatarini kwa maambukizi ya COVID-19, Wizara ya […] Læs mere… Læs mere…
04/05/2020
Watu walio katika hatari kubwa ya kuwa wagonjwa zaidi kwa maambukizo ya COVID-19, kwa sasa wanaweza kuwasiliana na daktari wao […] Læs mere… Læs mere…
23/04/2020
Tuko katika hatua ya kwanza ya kufunga tena jamii yetu na shughuli za kila siku. Hii ni kwa sababu tumepata […] Læs mere… Læs mere…
14/04/2020
Kwa sasa tunaweza kufurahia vile maendeleo ya virusi vya corona inavyo onyesha hapa nchini Denmark. Nambari zinaendelea kuwa zaidi na […] Læs mere… Læs mere…
06/04/2020
Maendeleo ilivyo sasa ni thabiti na nambari zinaendelea sawa: watu 503 wamelazwa hospitalini, watu 139 wamelazwa katika kitengo cha utunzaji […] Læs mere… Læs mere…
Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.
Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.
Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.
Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.