fbpx

Ufunguzi wa Denmark awamu ya tatu

Ufunguzi wa Denmark awamu ya tatu

08/06/2020 / /

Kuanzia jumatatu tarehe 8 juni 2020, Denmark itafungua tena sehemu zaidi. Hii itajumuisha:

  • Vitengo za michezo za ndani-(michezo za video), mabwawa ya kuogelea na maeneo ya kucheza na kuoga
  • Kumbi za michezo,vituo vya mazoezi na fitness center
  • Viwanja vya nje vya maburudisho – kwa kuzingatia vizuizi maalum kwa hivi viwanja
  • Mipangilio au shughuli za watoto na vijana msimu wa likizo ya summer 
  • Harusi na karamu kubwa- ambazo zina uwezo wa kukusanya hadi watu 500 kwa kuzingatia sheria maalum, ikiwa itafanyika katika mikahawa ambayo itaandaa chakula. Walakini hairuhisiwi wewe mwenyewe kukodisha nyumba na kukusanyika watu 500.
  • Mikutano, mikutano ya baraza- wako tena na uwezo wa kukusanyika hadi watu 500 chini ya hali maalum
  • Ligi kuu, mpira wa miguu – wako na uwezo tena wa kukusanyika hadi watu 500 chini ya hali maalum.

Marufuku ya mikutano ya watu 10 yatafutiliwa mbali kuanzia tarehe 8 juni, na kuanzia tarehe hio nane juni, wameongeza kiwango ya watu ambao wanaweza kukutana pamoja hadi watu 50.

Serikali inatumaini kuongeza uwezo wa watu kukusanyika pamoja hadi watu 100 kuanzia tarehe 8 julai, na hadi watu 200 kuanzia tarehe 8 agosti . Hili ni tumaini tu, bado haijapitishwa.

Tofauti kati ya mikoa

Kwa kuwa kuna tofauti katika maambukizi kati ya mikoa, vile vile kutakuwa na tofauti kati ya mikoa jinsi ufunguzi utakavyo endelezwa. Kwa mfano wafanyakazi wote katika mkoa wa Storebælt kwa sasa wanao uwezo wa kukutana katika sehemu zao za kazi. Walakini huduma za uma katika mkoa wa Sjælland na mji mkuu wanatarajiwa kufungua tena uwezo wa kukutana kazini tarehe 15 juni. 

Relaterede nyheder

Mipaka imefunguliwa kwa kiwango kidogo, lakini unashauriwa kutosafiri nje ya nchi

29/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 29 mai 2020 Serikali imetoa ushauri wa kutosafari […] Læs mere… Læs mere…

Sasa unauwezo mwenyewe wa kupata muda wa kupimwa virusi vya corona- hata ikiwa hauna dalili

19/05/2020
Sio lazima tena kupata rufaa kutoka kwa daktari wako ili uwe na uwezo wa kupata muda wa kupimwa virusi vya […] Læs mere… Læs mere…

Serikali inawasilisha mkakati mpya wa kupima na kufuatilia wale walio ambukizwa

13/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri Mkuu, tarehe 12 mai 2020 Hivi karibuni Denmark imeongeza sana, […] Læs mere… Læs mere…

Mamlaka ya teknolojia na usalama inatoa onyo dhidi ya barakoa zinazotengenezwa nyumbani

12/05/2020
Watu binafsi wameanza kushona na kutengeneza barakoa wenyewe nyumbani. Walakini barakoa zinazo shonwa hapo nyumbani zinafanya mtu ajihisi yuko salama, […] Læs mere… Læs mere…

Awamu ya 2 kufungua denmark upya inaaza sasa

07/05/2020
Muhutasari wa mkutano kwa waandishi wa habari tarehe 7 Mei , kutoka kwa Waziri Mkuu Mette Frederiksen Wananchi wote hapa […] Læs mere… Læs mere…

Wizara ya afya imebadilisha ufafanuzi wa ’vikundi vya watu walio hatarini’

06/05/2020
Baada ya kufanya kazi na ufafanuzi mpana sana wa vikundi vya watu walio hatarini kwa maambukizi ya COVID-19, Wizara ya […] Læs mere… Læs mere…

Kwa sasa, vikundi vilivyochaguliwa vya watu walio katika hatari kubwa ya maambukizi watapata chanjo ya bure kwa ugonjwa wa nimonia

04/05/2020
Watu walio katika hatari kubwa ya kuwa wagonjwa zaidi kwa maambukizo ya COVID-19, kwa sasa wanaweza kuwasiliana na daktari wao […] Læs mere… Læs mere…

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri wa afya na mamlaka ya afya, tarehe 20 aprili 2020

23/04/2020
Tuko katika hatua ya kwanza ya kufunga tena jamii yetu na shughuli za kila siku. Hii ni kwa sababu tumepata […] Læs mere… Læs mere…

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa Waziri Mkuu tarehe 14 aprili 2020

14/04/2020
Kwa sasa tunaweza kufurahia vile maendeleo ya virusi vya corona inavyo onyesha hapa nchini Denmark. Nambari zinaendelea kuwa zaidi na […] Læs mere… Læs mere…

Muhtasari wa mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa Waziri Mkuu tarehe 6 aprili 2020, saa mbili usiku (Kl.20.00).

06/04/2020
Maendeleo ilivyo sasa ni thabiti na nambari zinaendelea sawa: watu 503 wamelazwa hospitalini, watu 139 wamelazwa katika kitengo cha utunzaji […] Læs mere… Læs mere…

Vær med til at sikre
et ligeværdigt Danmark
– for alle!

Sammen styrker vi minoritetsetniske danskeres
muligheder, stemmer og samfundsdeltagelse



Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.

Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.

Hvert eneste medlemskab og donation styrker Mino Danmarks legitimitet og eksistensberettigelse.

Det gør en forskel og styrker foreningens muligheder for at lykkes med at skabe et lige samfund, uanset etnisk baggrund.